Tuesday 13 August 2013

TUJADILIANE LEO

Hivi kulingana na matukio haya yanayotokea ya ukatili kwa raia, wizi, utekaji na masuala kama hayo yanaashiria nini? tujadili, tafadhali unapochangia hapa toa hoja sio kushambulia mtu kwa itikadi na dini zako.

No comments:

Post a Comment